Recent Posts

Haruna Niyonzima kafunga ndoa Rwanda, uthibitisho kwenye picha sita…

Kiungo wa kimataifa wa Rwandaanayekipiga katika klabu ya Dar Es Salaam Young African Haruna NiyonzimaOctober 15 amefunga ndoa na mzazi mwenzake. Haruna Niyonzima ambaye alifunga ndoa hiyo baada ya kurejea kutoka Rabat Morocco mji ambao walienda kucheza mechi na timu ya taifa ya nchi hiyo.

Niyonzima ni baba wa watoto wa tatu mmoja wa kiume na wawili ambao ni mapacha Atifa na AtikaNiyonzima na mkewe walifunga ndoa ya kiserikali Kigali Rwanda. Hata hivyo kufuatia kuchelewa kujiunga na kambi ya klabu yake ambayo Bagamoyo ya kujiandaa na mchezo wa kesho dhidi ya Azam FC, huenda Niyonzima akakosa mchezo huo.



No comments