Recent Posts

HIZI HAPA PICHA ZA SHEREHE YA CRISTIANO RONALDO BAADA YA KUVUNJA REKODI YA MAGOLI REAL MADRID


Mshambuliaji wa kimataifa wa Ureno na klabu ya Real Madrid ya Hispania Cristiano Ronaldo usiku wa October 1 amefanyiwa sherehe Santiago Bernabeu ya kusherehekea rekodi ya kuwa
mfungaji bora wa muda wote wa klabu ya Real Madrid, licha ya kuwa Ronaldo inadaiwa yuko sawa kwa magoli na Raul kwa idadi ya magoli 323, lakini gazeti la Spanish na klabu yao inaeleza kuwa Ronaldo ana jumla ya magoli 324.
2D028E7800000578-3257538-Real_Madrid_s_stars_offer_their_applause_to_Ronaldo_in_front_of_-a-53_1443791805134
Shughuli hiyo ilihudhuriwa na wachezaji wenzake wa Real Madrid, Rais wa klabu hiyo Florentino Pérez pamoja na wakala wake Jorge Mendes, licha ya kuwa Cristiano Ronaldo hakuwa katika mahusiano mazuri na vyombo vya habari toka mwezi March 2015, ameomba radhi kwa vyombo hivyo sambamba na kuwashukuru makocha waliowahi kumfundisha.
Katika sherehe hiyo Ronaldo alipewa kiatu cha mfungaji bora na Rais wa Real Madrid Florentino Pérez sambamba na mpira wa zawadi. Licha ya kuwa Jose Mourinho aliwahi kuongea kauli ya kejeli dhidi yake Ronaldo amemshukuru kocha huyo pamoja na wachezaji wenzake wa Real Madrid.
2D01F63400000578-3257538-image-a-9_1443787184475
2D026A8300000578-3257538-image-a-14_1443788815310
2D0292AB00000578-3257538-image-a-36_1443790089952
2D028A0E00000578-3257538-image-m-45_1443790240895
Cristiano Ronaldo akiwa na mama yake pamoja na mtoto wake
2D02254500000578-0-image-a-47_1443786860334
Cristiano Ronaldo akiwa katika picha ya pamoja na wachezaji wenzake na Rais wa Real Madrid  Florentino Pérez

No comments